SBS Swahili - SBS Swahili

SBS

Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians. - Taarifa huru na hadithi zinazo kuunganisha na maisha nchini Australia nawa Australia wanao zungumza Kiswahili

  • 10 minutes 44 seconds
    Charlie "Mashabiki wa Bien watarajie bonge la tamasha"
    Wakaaji wa Sydney wana jiandaa kuhudhuria moja ya tamasha kubwa ya mwaka wa 2024, inayo andaliwa na kampuni ya Beast from the East Entertainment.
    4 May 2024, 6:16 am
  • 6 minutes 42 seconds
    Afrika Kusini ya adhimisha mwisho wa kumbukumbu ya apartheid wakati wa ongezeko ya kutoridhika nchini humo
    Africa Kusini ina adhimisha miaka 30 tangu uchaguzi wakwanza wayo waki demokrasia ambapo kila raia wa Afrika Kusini aliweza piga kura.
    3 May 2024, 11:36 pm
  • 17 minutes 50 seconds
    Taarifa ya Habari 3 Mei 2024
    Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema waendesha mashtaka wa shirikisho walifanya uamuzi mubaya kuruhusu dhamana kwa mfungwa wa uhamiaji, ambaye baadae anadaiwa kumshambulia bibi mmoja mjini Perth katika tukio la uvamizi wa nyumba.
    3 May 2024, 6:20 am
  • 8 minutes 16 seconds
    MCA Tricky "Nili ingia katika ucheshi kujibamba"
    MCA Tricky ni mmoja wa wacheshi maarufu nchini Kenya, kazi zake zina endelea kuwavutia mashabiki wengi.
    3 May 2024, 4:51 am
  • 20 minutes 42 seconds
    Taarifa ya Habari 30 Aprili 2024
    Ripoti mpya kuhusu mauaji nchini Australia, imeonesha kuwa idadi ya wanawake ambao wame uawa na wapenzi wao wa sasa au wazamani, imeongezeka kwa asilimia 28 mwaka huu hadi Juni 2023.
    30 April 2024, 4:19 am
  • 7 minutes 24 seconds
    Mafuriko yasababisha maafa makubwa Afrika Mashariki
    Zaidi ya watu 130,000 wame hamishwa na mafuriko nchini Kenya wakati idadi ya vifo ina endelea kuongezeka tena baada ya bwawa kuvunjika Jumatatu.
    30 April 2024, 4:10 am
  • 7 minutes 1 second
    Taarifa ya Habari 29 April 2024
    Mratibu wa maandamano yakupinga unyanyasaji dhidi ya wanawake mjini Canberra, amesema waziri mkuu alidanganya kuhusu, kuto ruhusiwa kuzungumza katika tukio hilo.
    29 April 2024, 4:52 am
  • 10 minutes 32 seconds
    Viongozi wadini, Waziri Mkuu waomba uwepo wa heshima na maelewano katika jamii
    Viongozi kutoka jumuiya za wayahudi, waislamu na wakristo mjini Sydney wame kemea kwa pamoja vurugu na maneno yakugawanya ambayo yame ibuka kufuatia matukio mawili ya shambulizi ya visu mjini Sydney.
    26 April 2024, 9:07 pm
  • 17 minutes 12 seconds
    Taarifa ya Habari 26 Aprili 2024
    Aliyekuwa mu Australia wa mwaka wa zamani Rosie Batty ame ihamasisha serikali ya New South Wales izingatie kuanzisha tume yakifalme kwa ukatili wa nyumbani.
    26 April 2024, 4:49 am
  • 10 minutes 51 seconds
    Maveterani washerehekewa naku kumbukwa katika siku ya ANZAC
    Maelfu ya watu walijumuika kote nchini Australia, na ng’ambo kutambua siku ya ANZAC.
    26 April 2024, 3:46 am
  • 13 minutes 17 seconds
    Utofauti wa tamaduni zawa Anzac wa Australia
    Kila mwaka tarehe 25 Aprili, huwa tuna adhimisha Anzac Day, ni siku ambapo tunawakumbuka walio hudumu nakufia vitani.
    24 April 2024, 10:20 pm
  • More Episodes? Get the App
© MoonFM 2024. All rights reserved.