Kuna Taarifa nyingi mitandaoni zisizo na uhakika.Â
kwenya kipindi cha leo mtangazaji wetu Rehema Nkalami ataongelea kuhusu swala hili la habari potovu.Â
Mzungu Kicha akiwa katika mahojiano na Swahili Talk Radio.
Akijifungua kuhusu, Mziki wa Bongo, Ubaguzi baina ya wzungu,
na maisha yake kwa ujumla kama MBongo mhamiaji.
Kila malezi yanakuwa magumu au marahisi kulingana na mazingira, mila na destuli ya mahali ulipo.
Kwenye podcast ya leo tunajaribu kugusia hili..Â
Kipindi hiki kinaongelea jinsi gani inakua ngumu kwa wageni wanao hamia kwenye nchi za kigeni ku-adopt mila na desturi za nchi hiyo, nanini kinakua kigumu.
Tarere 25.07-2020 alizaliwa mtoto wa kitanzania na kuweza kuwaunganisha wanzania wengi wa Jylland/Denmark
- Utaratibu wa kufungua mashule baada ya karantin.
- Pasaka iliendaje ndani ya karantin.
- Hadhali za kisaikolojia kwa ajili ya Corona -V
- New members of ´Swahili Talk radio.Â
Sikiliza swahili podcast inavoelezea kuhusu hili swala? Sikiliza Swahili Talk Radio Podcast inayvoelezea kuhusu hili swala
The Corona Virus pandemic is showing up in Tanzania, Kenya and the other sub-sahara countries on the continent. Rehema Nkalami lives in Denmark where the virus already closed down the country. What is it like? What can you do to prevent the decease? Listen to this episode of Swahili Talk Radio Podcast - and don't forget to share it with your neighbor :) ...Â
Rehema Nkalami talks about the virus that has scared half the world. What is going on? Are we all going to die, or do we need to put things in to perspective? Listen to this Corono Virus Special.Â
This episode is in english. Rehema Nkalami has invited journalist Soren Rasmussen to talk about the Corona Virus Outbreak. How afraid should we be? Is the world going under? Are we all going to die? Or what is going on?
Podcast ya leo tunaongelea kuhusu watoto wetu na pesa za zatumizi.
tunaongelea mpango wa kutengeneza kazi za wanafunzi iwe jukumu la nchi.Â
Na pia tunaongelea mfumo mzima wa majukumu yaanzie nyumani kwa wazazi.Â
Â
Your feedback is valuable to us. Should you encounter any bugs, glitches, lack of functionality or other problems, please email us on [email protected] or join Moon.FM Telegram Group where you can talk directly to the dev team who are happy to answer any queries.